Monday 5 December 2016

Wednesday 14 September 2016

Sunday 28 August 2016

New Music: John Legend - ''Start''


John Legend takes fans back to the “Start” with his latest jam, a mellow cut off the soundtrack for Southside with You.
on the middle of the song he says “You don’t know if I’ll break your heart / We don’t know how the winds will blow / And we won’t know, we won’t go unless we start.”
Listen to the new song via apple Music bwlow here..

Video: Chris Brown – ‘Grass Ain’t Greener’

Chris Breezy on trend again now he deliver his own video for his single "Grass Ain't Greener''.
Breezy released the new song audio few days ago before releasing this video.
check out the video below here.. listen and watch ''Grass Aint Greener''

New Video: Dogo Janja - 'Kidebe'


Mkali wa ngoma ya My Life" Dogo Janjaro anakuletea ngoma nyingine Mpya kwako inajulikana kama ''Kidebe''. video ikifanywa tena na Hanscana director wa Bongo chini ya producer Maco Chali.

Saturday 20 August 2016

Man United Yiadhibu Southampton

Magoli Mawili yaliyofungwa na Ziltan Ibromovich yaliiwezesha timu hiyo kupata ushindi dhidi ya Southampton katika mechi ligi kuu ya Uingereza iliyochezwa hapo jana.
Hivyo Man United kujinyakulia point tatu mkononi dhidi ya southampton.
Kocha Jose Mournho amesifia Paul Pogba moja ya wachezaji waliouzwa kwa gharama kubwa mwaka huu kwa ada ya paundi 89 milioni, alifungua mechi yake ya kwanza baada ya kucheza kwa umahiri mkubwa zaidi ya wachezaji wengine katika timu hiyo, ambapo aliweza kukamilisha pasi (71), alizogusa  (103), huku shots zikiwa  (4).

Monday 15 August 2016

New Video: AY - 'EL CHAPO'

"EL Chapo" ni video moya kutoka kwa AY akionyesha uwezo wake kwenye kurap, video imeandaliwa na Marco Challi pamoja na Shedi Pro.
Itazame hapa chini kwa dakika chache

Rais wa Zambia Atangazwa Mshindi Uchaguzi Mkuu

Rais wa Zambia Edger Lungu ametangazwa mshindi wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Urais nchini humo.
Edgar Lungu alishida kwa asilimia 50.35 ya kura huku mpinzani wake Hakainde Hichilemi ambae ni mfanya biashara mkubwa nchini humo aliyeshnda kwa asilimia 47.67 kama Tume ya Uchaguzi ilivyotangaza.
Chama cha Upinzani upande wa Hichilema UNPD kilijitoa mapepma katika uhakiki wa kura zilizopigwa na raia wa nchi hiyo kwa madai kuwa uchaguzi huo ulikuwa na udanganyifu mkubwa.
Uchaguzi mkuu wa Urais Zambia ulifanyika siku ya Alhamis wiki iliyopita.